Baadhgi ya Magari yakiwa katika foleni kusubiri kupatiwa Mafuta katika Kituo cha Mafuta Kijangwani, bei ya mafuta lita moja shilingi 2000/=, walanguzi huuza shilingi 3500/= kwa lita moja.
Walanguzi wa Mafuta ya Petrol wakiwalangua watumiaji wa vyombo vya moto baada ya kununua katika vituo na kuyalanguwa kwa bei ya shilingi 3500/= na 4000/=.

No comments:
Post a Comment