
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan akipata Maelezo Kuhusu Upakuwaji wa Makontena katika Bandari ya Zanzibar kwa Mkuu wa Mipango{ZPC]Ali Haji Haji wakati wa Ziara yake yakutembelea Miradi ya Maendeleo, Kulia Kaimu Mkurugenzi wa Bandari Bw Msanifu Haji Mussa na Maofisa wa Bandari ya Zanzibar[Picha na Ali Meja]
No comments:
Post a Comment