Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi Ajumuika na Wananchi katika Kisomo cha Hitma a Dua Kumiombea Marehemu Hamisa Salmini Amour Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Hassan Othman Ngwali alipowasili katika viwanja vya Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar, kuhudhuria Kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Marehemu Hamisa Salmini Amour Juma, mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhajj Dkt. Salmini Amour Juma, iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar na (kushoto kwa Kadhi Mkuu ) Amini Salmini Amour

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi katika kisomo cha hitma kumuombea Marehemu Hamisa Salmini Amour, Mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhajj Dkt.Salmini Amour Juma iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar, na (kushoto kwa Rais) Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Hassan Othman Ngwali na (kulia kwa Rais) Amini Salmini Amou.r





 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi,akisalimiana na kutowa mkono wa pole kwa Familia ya Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhajj Dkt.Salmini Amour Juma, baada ya kumalizika kwa kisomo cha hitma na dua ya kumuombea Marehemu Hamisa Salmini Amour, iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.