Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na
waombolezaji mara baada ya Ibada ya mazishi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David
Msuya katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya
Mwanga, Usharika wa Usangi kivindu, wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro tarehe13
Mei, 2025.
Viongozi
mbalimbali waliohudhuria mazishi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya
katika Kijiji cha Chomvu, Usangi Wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro tarehe13
Mei, 2025.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na
viongozi wengine katika mazishi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya
nyumbani kwake katika Kijiji cha Chomvu, Usangi, wilayani Mwanga mkoani
Kilimanjaro tarehe13 Mei, 2025.
.jpg)

Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiweka udongo kwenye kaburi
la
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu
Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya katika maziko yaliyofanyika nyumbani
kwake Chomvu, Usangi Wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro tarehe13 Mei, 2025.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua kwenye
kaburi la Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri
Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya katika maziko yaliyofanyika
nyumbani kwake Chomvu, Usangi Wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro tarehe13 Mei,
2025. 
No comments:
Post a Comment