Wananchi wakitowa msaada gari ilioacha njia na kuingia katika kolongo jirani na uwanja wa Daizi Mchangani, katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa na hatimai wamefanikiwa kuitowa katika kolongo hilo, barabara hiyo ya Malindi inafanyiwa matengenezo makubwa ya kuwekewa lami mpya ili kuimarisha miundombinu ya barabara za mjini.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment