Maprofesa Mohammed Bakar na Prof Farouk Topan, wakimsikiliza Profesa Idris Ahmada Rai, akifunguwa Warsha ya siku tatu ya kutayarisha mitaala ya masomo ya Uzamili na Uzamivu katika Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar SUZA.
Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA wakiwa katika ukumbi wa mkutano wakimsikiliza Makamu Mkuu wa Chuo. Prof. Idris Ahmada Rai akifunguwa Warsha hiyo.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) Prof Idrisa Rai Akifungua Warsha ya siku tatu Juu ya Kutayarisha Mitaala ya Masomo ya Uzamili na Uzamivu ya Chuo cha SUZA, Prof. Mohammed Bakar (kulia) na Prof Farouk Topan, baada ya kufunguwa kwa warsha hiyo inayofanyika katika ukumbi wa Kampasi ya Nkrumah.
No comments:
Post a Comment