Wananchi wakiangalia ajali ya gari iliotokea katika barabara ya rahaleo iliozihusisha gari mbili zenye namba za Z 581BX bus na Pick up yenye namba za uasjili Z 629 BB, wakibishana kwa kulaumiana kila mmoja ndie mkosa wa ajali hiyo, katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Amefanya Uteuzi wa Wajumbe 8 Kuwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,
walioteuliw...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment