Kisanduku cha Posta kama kilivyokutwa mitaa ya Kilimani. Utaratibu huu ulikuwepo zamani na baadae vikapotea. Tunalishukuru Shirika la Posta na Simu kwa kuweza kurudisha huduma hii kuwarahisishia wateja kutua barua bila ya kwenda Posta
NEWALA WAIPA KONGOLE REA MRADI WA KUSAMBAZA UMEME VITONGOJINI
-
-Waeleza kuridhishwa na kasi ya utekelezaji wake
-Wasema umeibua fursa lukuki
Wakazi wa vitongoji vya Chihanga, Mpilipili, Mkwedu na Majengo Wilayani
Newa...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment