Mdau wa Habari Mhe Farouk Karimu akijivinjari kujisomea habari kutoka katika gazeti la Zanzibar Leo, akiwa katika duka lake la Masomo Bookshop, Empire. Akitaka kujuwa habari mbalimbali zinazotokea katika usiku wa jana na ulimwenguni kote kupitia magazeti.
RAIS SAMIA ANAPENDA KUFANYA KAZI NA VIONGOZI WA DINI - DKT. BITEKO
-
📌 Asisitiza milango ya Rais Samia ipo wazi kwa ajili ya mazungumzo kwa
mustakabali wa Taifa
📌 Asema Serikali inatambua na kuthamini kazi kubwa inayofa...
34 minutes ago
Mara nyingi naona unamwita Farouk Karim kama mdau wa habari. Jee huyu ni mwandishi wa habari aliesomea au ni mtu mfuatiliaji wa habari?
ReplyDeleteShukran.