Mdau wa Habari Mhe Farouk Karimu akijivinjari kujisomea habari kutoka katika gazeti la Zanzibar Leo, akiwa katika duka lake la Masomo Bookshop, Empire. Akitaka kujuwa habari mbalimbali zinazotokea katika usiku wa jana na ulimwenguni kote kupitia magazeti.
Siasa : Dkt. Mwinyi - CCM ni Mhimili wa Amani na Maendeleo
-
[image: WhatsApp%20Image%202025-09-18%20at%208.47.18%20AM]
[image: WhatsApp%20Image%202025-09-18%20at%208.47.20%20AM%20(1)]
MGOMBEA wa kiti cha Rais wa ...
8 minutes ago
Mara nyingi naona unamwita Farouk Karim kama mdau wa habari. Jee huyu ni mwandishi wa habari aliesomea au ni mtu mfuatiliaji wa habari?
ReplyDeleteShukran.