Wazee wanaoishi katika Nyumba ya Wazee Limbani Wilaya ya Wete wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, alipofika kuwatembelea na kutowa futari kwa ajili ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani jana 30-7-2012
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akizungumza na Wazee wa Nyumba ya Wazee Limbani Wete Pemba alipofika kuwatembelea na kutowa futari kwa Wazee hao.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akimkabidhi futari Mzee wa Nyumba ya Wazee Limbani Hamadi Ali, wakati alipofika katika makazi yao kuwatembelea na kutowa Futari kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani,(katikati) Waziri wa Ustawi wa Jamii Maendeleo ya Wanawanke na Watoto Bi Zainab Omar
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akizungumza na Wazee wa Nyumba ya Wazee Limbani Wilaya ya Wete Pemba alipofika kuwasalimia na kutowa Futari kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
No comments:
Post a Comment