MCHEZAJI Derrick Walulya wa timu ya URA FC ya Uganda, akimiliki mpira mbele ya Felix Sunzu wa Simba katika mechi ya kuwania Kombe la Kagame iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana. Simba ilisalimu amri kwa kuchapwa mabao 2-0.
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment