Habari za Punde

Wananchi Kisiwani Pemba Watowa Maoni yao kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 Khamis Said Abdalla (47) mkaazi wa shehia ya Madungu Chake chake, ambae ni mlemavu akitumia  haki yake ya  kutowa  maoni katika  mchakato wa kukusanya maoni ya Uandikwaji wa Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati Tume hiyo ilipokuwa Kisiwani Pemba ikukusanya Maoni ya Wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba, katika Wilaya ya Chakechake. 
 Mlemvu wa kutozungumza (bububu) akitumia haki yake ya kuchangia maoni yake kupitia mkalimali wa kutafsiri lugha hiyo wakati akiwasilisha maoni yake mbele ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Tamzania, wakati ilipokuwa ikikusanya maoni ya Wananchi wa Wilaya ya Chakechake Pemba.
 Wananchi wa Wilaya Chakechake Pemba wakinyosha mikono kupata nafasi ya kutoa maoni yao kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Muungano wa Tanzania  wakiwa katika  viwanja vya Tennis Chakechake.   

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.