Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Baloz Seif Ali Idi akitoa hotuba ya Makaribisho kwa wageni wake katika Chakula cha Usiku huko Hoteli ya Lagema ilioko Nungwi kaskazini Unguja.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Baloz Seif Ali Idi akiinua Glasi na Mgeni wake Makamu Waziri Mkuu wa China Hui Liangyu kuonyesha ishara ya Upendo na Ushirikiano kati ya Zanzibar na China
Makamu wa Pili wa Rasi wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi wakatikati akipiga makofi pamoja na Mgeni wake katika Muziki uliotumbuizwa na Kikundi cha Taarab cha Tausi katika Hoteli ya Lagema ilioko Nungwi kaskazini Unguja
-Viongozi mbalimbali kati ya Zanzibar na China wakihudhuria katika Chakula cha Usiku kilichoandaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi huko katika Hoteli ya Lagema ilioko Nungwi kaskazini Unguja.
Makamu Waziri Mkuu wa China akihudhuria katika chakula cha Usiku kilichoandaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi huko katika Hoteli ya Lagema ilioko Nungwi kaskazini Unguja.
Picha zote na Yussuf Simai , Maelezo
TPDC YANG'ARA KATIKA MAONESHO YA 49 YA SABASABA, YASHINDA TUZO YA MAZINGIRA
-
SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeibuka mshindi katika
Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, maarufu kama
Sabasaba, b...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment