Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Baloz Seif Ali Idi akitoa hotuba ya Makaribisho kwa wageni wake katika Chakula cha Usiku huko Hoteli ya Lagema ilioko Nungwi kaskazini Unguja.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Baloz Seif Ali Idi akiinua Glasi na Mgeni wake Makamu Waziri Mkuu wa China Hui Liangyu kuonyesha ishara ya Upendo na Ushirikiano kati ya Zanzibar na China
Makamu wa Pili wa Rasi wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi wakatikati akipiga makofi pamoja na Mgeni wake katika Muziki uliotumbuizwa na Kikundi cha Taarab cha Tausi katika Hoteli ya Lagema ilioko Nungwi kaskazini Unguja
-Viongozi mbalimbali kati ya Zanzibar na China wakihudhuria katika Chakula cha Usiku kilichoandaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi huko katika Hoteli ya Lagema ilioko Nungwi kaskazini Unguja.
Makamu Waziri Mkuu wa China akihudhuria katika chakula cha Usiku kilichoandaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi huko katika Hoteli ya Lagema ilioko Nungwi kaskazini Unguja.
Picha zote na Yussuf Simai , Maelezo
Taasisi ya Pamoja Youth Initiative (PYI) inaendelea kuwapatia mafunzo
vijana wa Kizanzibar
-
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana Masoud Juma Haji amesema
Taasisi ya Pamoja Youth Initiative (PYI) inaendelea kuwapatia mafunzo
vijana wa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment