Mfanyakazi wa kampuni ya simu ya mkononi ya Zantel akiifanyia usafi moja ya saa iliyowekwa na Zantel katika makutano ya barabara ya shangani na Vuga, ili kuiweka katika mazingira safi na kutowa huduma ya wakati kwa Wananchi.
TIRA na DSE wasaini Makubaliano ya Kimkakati Kuimarisha Sekta ya Bima na
Masoko ya Mitaji
-
Na Karama Kenyunko, Michuzi Tv
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) na Soko la Hisa la Dar es
Salaam (DSE) wamesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment