Wananchi wa Magomeni Jitini wakiitaka taasisi husika na mazingira kuona kero yao hii ya moja ya muembe wa siku nyingi katika barabara ya magomeni ukiwa umekauka na kuwa tishio kwa watumiaji wa barabara hiyo, wanataka kuchukuliwa hatuwa ya kuukata kabla ya kuleta madhara.
DKT.SWARE SEMESI- NEMC ASHIRIKI UZINDUZI WA MFUMO W KIDIGITALI NCHINI GHANA
-
NEMC imeshiriki uzinduzi wa mfumo wa kidigitali wa kufuatilia uchafuzi wa
mazingira(online continuous emissions monitoring System) ambao umelenga
kurahisis...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment