Mdau akiwa katika harakati za kublog habari akiwa katika eneo la shughuli katika ukumbi wa hoteli ya Grand Palace Malindi.
Mdau wa Blogo hii akitunukiwa Cheti na Meneja wa Benki ya KCB Tawi la Zanzibar Francis Mandala, baada ya mafunzo hayo yaliowashirikisha Wajasiriamali Wadau wa Benki ya KCB ili kuwezesha kiuchumi katika Biashara zao
No comments:
Post a Comment