Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Brigedia Jenerali Sharif Sheikh Othman,alipofika kujitambulisha kwa Rais Ikulu Mjini Zanzibar
leo ,akiwa ni Kamanda wa Brigedi ya Nyuki (101KV),
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Brigedia Jenerali Sharif Sheikh Othman,alipofika kujitambulisha kwa Rais Ikulu Mjini Zanzibar
leo,akiwa ni Kamanda wa Brigedi ya Nyuki (101KV),
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Sinzo Mgeja awaasa vijana nchini kutokubali kutumika
-
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Shinyanga, Sinzo Mgeja,
Na Mwandishi Wetu
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Shinyanga, Sinzo Mgeja, amewaas...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment