RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsalimia na kutowa mkono wa pole kwa
Familia ya Marehemu Sheikh. Jabir bin Haidar bin Jabir Al-Farsy, alipofika
nyumbani kwa Kaka wa marehemu mtaa wa Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja leo
6-6-2025 kwa ajili ya kutowa mkono wa pole kwa familia hiyo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kutowa mkono wa pole kwa
Familia ya Marehemu Sheikh.Jabir bin Haidar bin Jabir Al-Farsy, alipofika
nyumbani kwa kaka wa Marehemu mtaa wa Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja leo
6-6-2025 na (kushoto kwa Rais) Kaka wa Marehemu Kassim Haidar na (kulia kwa
Rais) Watoto wa Marehemu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Familia ya Marehemu
Sheikh.Jabir bin Haidar bin Jabir Al-Farsy, kuitikia dua ya kumuombea
marehemu,baada ya kutowa mkono wa pole kwa familia nyumbani kwa Kaka wa
Marehemu mtaa wa Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 6-6-2025
No comments:
Post a Comment