Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Mkuu wa Kanisa la
Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa kwenye Harambee
ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha watoto wenye mahitaji maalum cha Bagamoyo
Diaconic Lutheran Centre katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam
tarehe 05 Juni, 2025.
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi
pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya uchangiaji ujenzi wa
Kituo cha watoto wenye mahitaji maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre
katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Juni, 2025.
No comments:
Post a Comment