Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar Prof. Idrissa Ahmada Rai, wakati wa mahafali ya nane ya Chuo hicho yaliyofanyika Kampasi mpya ya Chuo hicho iliyoko Tunguu. Katikati ni Mwenyekiti wa bodi ya Chuo hicho Mzee Nassor Hassan Moyo.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiongozana na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar Prof. Idrissa Ahmada Rai, wakati wa mahafali ya nane ya Chuo hicho yaliyofanyika Kampasi mpya ya Chuo hicho iliyoko Tunguu. Katikati ni Mwenyekiti wa bodi ya Chuo hicho Mzee Nassor Hassan Moyo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohd Shein ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar, pamoja na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad wakifurahia jambo katika hafla ya mahafali ya nane ya Chuo hicho yaliyofanyika Kampasi mpya ya Chuo hicho iliyoko Tunguu.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohd Shein (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad pamoja na viongozi mbali mbali wa Chuo na Serikali wakati wa mahafali ya nane ya Chuo hicho yaliyofanyika Kampasi mpya ya Chuo hicho iliyoko Tunguu. (Picha, Salmin Said, OMKR).
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment