Jengo la Kurikodia Muziki Zanzibar ambalo limefanyiwa ukarabati mkubwakwa ajili ya kutowa huduma ya kurikodi muzika wa aina zote ambali tayari ukarabati wake umekamilika na asubuhi ya leo linatarajiwa kuzinduliwa Rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, kwa ajii ya kuaza kutowa huduma hiyo baada ya kuzinduliwa leo. 
UTHAMINI WA FIDIA MRADI WA SGR KIPANDE CHA SITA TABORA-KIGOMA WAENDELEA KWA 
KASI
                      -
                    
Na Munir Shemweta, WANMM 
Zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya 
Kisasa SGR kipande cha 6 kutoka Tabora hadi Kigoma linaen...
13 hours ago

No comments:
Post a Comment