Habari za Punde

Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi atoa maoni yake katiba mpya

 Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman (kushoto) akizungumza na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano baina yao uliofanyika  jumamosi januari 26, 2013) katika ofisi za Tume hiyo jijini Dar es Salaam na kutoa maoni yake  kuhusu KatibaMpya kwaTume. Kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba.
 
 MwanasheriaMkuuwazamaniwaSerikali, Mhe. Andrew Chenge akizungumza na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano baina yao uliofanyika  jumamosi januari 26, 2013) katika ofisi za Tume hiyo jijini Dar es Salaam na kutoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya kwa Tume. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani.

 Mwanasheria Mkuu wa Serikaliya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman (kushoto) akibadilishana mawazo na Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nje ya ukumbi mikutano wa Tume hiyo, Awadh Said (kulia) na Prof. Paramagamba Kabudi (katikati) mara baada ya kutoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika ofisi za Tume hiyo jijini Dar es Salaam  (jumamosijanuari 26, 2013
 
Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi (kushoto) akizungumza na Wajumbe wa Tumeya Mabadiliko ya Katiba walioongozwa na Mwenyekitiwa Tume hiyo Jaji, Joseph Warioba (kulia). Wajumbe wa Tume walikutana na Rais huyo mstaafu (kulia)  (jumamosi januari 26, 2013) ili kupata maoni na uzoefu wake katika uandishi wa Katiba Mpya.


 
 

 
Picha na tume ya katiba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.