Magari haya hayako katika maegesho ila yakisubiri kupakiwa katika meli ya Sea Link 1 ya kampuni ya Azam Marine kwa ajili ya kusafirishwa nje ya Zanzibar kwenda Dar-es- Salaam, eneo hili limejengwa na kampuni ya Azam na Shirika la Bandari Zanzibar kutolea huduma ya kupakilia abiria wanaokwenda Pemba na Dar.
TADB, BOT WAFUNGA MAFUNZO KWA WATAALAMU 52, KULETA TIJA KATIKA UTOAJI WA
MIKOPO YA KILIMO
-
Kaimu Mkurugenzi na Muendeshaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania
(TADB), Dkt. Kanael Nnko (wa pili kutoka kulia) akiwakabidhi vyeti wahitimu
...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment