Moja ya Marikiti Kuu Zanzibar ambayo hutowa huduma za kujipatia vitu na bidhaa mbalimbali kwa Wananchi wa Unguja. Soko hili ni kivutio cha Wageni wanaotembelea Zanzibar likiwa lina historia ya aina yake Zanzibar.
UTHAMINI WA FIDIA MRADI WA SGR KIPANDE CHA SITA TABORA-KIGOMA WAENDELEA KWA 
KASI
                      -
                    
Na Munir Shemweta, WANMM 
Zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya 
Kisasa SGR kipande cha 6 kutoka Tabora hadi Kigoma linaen...
11 hours ago

Mwandishi ni vizuri kuandika"Soko hutowa huduma za kujipatia vyakula mbalimbali badala ya kuandika vifaa mbalimbali maana hapo hapauzwi nondo ,saruji wala mabati, hapo wananchi wanajipatia mahitaji ya chakula.
ReplyDeleteSawa mkuu tumerekebisha na kuweka vitu na bidhaa.
ReplyDeleteShukran kwa angalizo