Mchezaji wa timu ya Nyuki akimtoka mchezaji wa timu ya Africa Magic, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Mpira wa Mikono Zanzibar timu ya Africa Magic imeshinda kwa vikapu 45-42.
Mchezaji wa timu ya Africa Magic mwenye mpira akiwatoka wachezaji wa Nyuki katika mchezo huo uoliofanyika katika uwanja wa Basket maisara, timu ya Africa Magic imeshinda kwa vikapu 45--42.
Hapa hupiti ndivyo wanavyoonekana wakisema wachezaji hawa wa Africa Magic.
No comments:
Post a Comment