Muonekano wa Bandari ya Boti za Abiria kwenda Dar na Pemba kama inavyoonekana ikipendeza na kutowa sura nziri ya mji wa Zanzibar kwa wageni wanaotembelea Zenj kwa kupitia njia ya bahari na kuwa kivutio kwao.
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR -UFUNGUZI WA KONGAMANO LA MKUPONGEZA
RAIS WA ZANZIBAR
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema katika
kipindi cha miaka mitano iliyopita, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
(WEMA)...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment