WANANCHI mbali mbali na wanafunzi wa skuli za sekondari kisiwani
Pemba, wakifuatia kwa makini mchezo wa kuigiza, kutoka katika kikundi
cha Sanaa Gombani Pemba, juu ya uzinduzi wa kampeni dhidi ya
udhalilishaji wa watoto, Inayojulikana kama ni “Daladala yangu ni
salama kwa watoto” huko katika steni ya dalalala chake chake (Picha na
Abdi Suleiman, Pemba.)
WANAKIKUNDI cha Sanaa kilichopo gombani Pemba, wakiigiza moja ya
maigizo igizo, katika uzinduzi wa kampeni dhidi ya udhalilishaji wa
watoto, Inayojulikana kama ni “Daladala yangu ni salama kwa watoto” na
kuwafanya madereva wa gari za abiria kuacha kazi zao na kuangalia
igizo hilo kama wanavoonekana katika picha, huko katika steni ya
dalalala chake chake (Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
VIONGOZI mbali mbali wa Serikali, wakiongozwa na Mkurugenzi wa
Wanawake na Watoto Zanzibar Rahma Ali Khamis wapili kutoka kushoto,
katika hafla ya uzindizi wa kampeni dhidi ya udhalilishaji wa watoto,
inayojulikana kama “Daladala yangu ni Salama kwa watoto’ huko katika
steni ya daladala chake chake. (Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
AFISA Tawala wilaya ya Chake Chake, Rashid Khadid akizungumza kwa
niaba ya mkuu wa wilaya hiyo, Mwanajuma Majid Abdalla katika hafla ya
uzinduzi wa kampeni dhidi ya udhalilishaji wa watoto, inayojulikana
kama “Daladala yangu ni Salama kwa watoto” huko katika steni ya
daladala chake chake. (Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
AFISA Tawala wilaya ya Chake Chake, Rashid Khadid akibandika Stika
katika daladala ya Chake-Wete, kuashiria uzinduzi wa kampeni dhidi ya
udhalilishaji wa watoto, inayojulikana kama “Daladala yangu ni Salama
kwa watoto” kama anavyoonekana katika picha, huko katika steni ya
daladala chake chake. (Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
MKURUGENZI wa Wanawake na Watoto Zanzibar, Rahma Ali Khamis akibandika
stika katika daladala ya Chake-Wete, mara baada ya kuzinduliwa kwa
kampeni dhidi ya udhalilishaji wa watoto, inayojulikana kama “Daladala
yangu ni Salama kwa watoto” kama anavyoonekana katika picha, huko
katika steni ya daladala chake chake. (Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
MKUU wa askari wa usalama wa barabarani Mkoa wa kusini Pemba, Shawal
Abdalla akibandika stika katika daladala mara baada ya kuzinduliwa kwa
kampeni dhidi ya udhalilishaji wa watoto, inayojulikana kama “Daladala
yangu ni Salama kwa watoto” kama anavyoonekana katika picha, huko
katika steni ya daladala chake chake. (Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
WANANCHI wakibandika stika katika daladala mbali mbali zilizokuwepo
steni, mara baada ya kuzinduliwa kwa kampeni dhidi ya udhalilishaji wa
watoto, inayojulikana kama “Daladala yangu ni Salama kwa watoto” kama
anavyoonekana katika picha, huko katika steni ya daladala chake chake.
(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
Hayo mashaka mengine tunaletewa. Wenzetu wa magharibi kila linalowashinda wao huko then wanatuletea sisi. Uzazi wa mpango, watoto kupewa uhuru kupita kiasi, haki za wanawake. Tuache kuuza dini na utu wetu kwa matumbo yetu tusiwe tunabeba kila kitu tunachiletewa kuna mtoto gani anaedhalilishwa kwa Unguja na Pemba? haya tusubiri nasie mtoto wako wa miaka 12 akuletee boy friend nyumbani
ReplyDelete