Kilimo ni sehemu yoyote ile hulimwa kama inavyoonekanamigomba hiyi ikiwa imepandwa jirani na Wizara ya Afya majestiki mbele ya msikiti baraza wa marehemu Mwalim Bei, migomba hii ikiwa imenawiri na kuwa mfano wa wapita njia kuona migomba ikiwa imestawi mjini.
MGOMBEA UDIWANI KATA YA MJINI SONGEA, MATHEW NGALIMANAYO AOMBA RIDHAA YA
AWAMU YA PILI
-
Songea_Ruvuma.
Mgombea Udiwani wa Kata ya Mjini, Manispaa ya Songea kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Mathew Casian Ngalimanayo, ameomba tena ridhaa ya ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment