Tangazo likiwa limewekwa katika moja ya daka katika marikiti ya darajani kukataza kuegesha vyombo vya moto na kufanya biashara mbele ya duka hilo linalojishughulisha na biashara ya kuuza vitu vya mapishi vya viungo mbalimbali,eneo limekuwa likifanya ni maegesho na wafanyabiashara kupanga bidhaa zao ili kupata wateja na kuweka kiwingu katika duka hilo na kuwa usumbufu kwa wateja wake wanaofika dukani hapo kupata mahitaji yao.
DKT. TULIA AKOSHWA NA CRDB BANK MARATHON IKIKUSANYA BILIONI 2 KUSAIDIA AFYA
NA UWEZESHAJI JAMII
-
Dar es Salaam, 17 Agosti 2025 - Maelfu ya wakimbiaji na wapenda michezo
kutoka ndani na nje ya Tanzania wamejitokeza leo katika viwanja vya The
Green, Oys...
46 minutes ago
Hili baraza la mji lino ongzwa na vipofu wakulima na wakwezi, wao na muaomsha akilizao sawa, aljunu funu, tutafika tuendako
ReplyDelete