Tangazo likiwa limewekwa katika moja ya daka katika marikiti ya darajani kukataza kuegesha vyombo vya moto na kufanya biashara mbele ya duka hilo linalojishughulisha na biashara ya kuuza vitu vya mapishi vya viungo mbalimbali,eneo limekuwa likifanya ni maegesho na wafanyabiashara kupanga bidhaa zao ili kupata wateja na kuweka kiwingu katika duka hilo na kuwa usumbufu kwa wateja wake wanaofika dukani hapo kupata mahitaji yao.
MRADI WA AFYA HATUA WACHANGIA KUSHUKA KWA VIWANGO VYA MAAMBUKIZI YA VVU
MKOANI KIGOMA
-
Mratibu wa UKIMWI, Magonjwa ya Ngono na Via vya Uzazi na Homa ya Ini Mkoa
wa Kigoma, Dkt. Hosea William akielezea namna Serikali na THPS
wanavyoshirikiana...
10 hours ago
Hili baraza la mji lino ongzwa na vipofu wakulima na wakwezi, wao na muaomsha akilizao sawa, aljunu funu, tutafika tuendako
ReplyDelete