Habari za Punde

Dkt Shein, azungumza na Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Daniel Ole Njooley.

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Daniel Ole Njooley,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais leo,baada ya kuteuliwa  kushika nafasi hiyo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana  na  Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Daniel Ole Njooley,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar  leo,baada ya kuteuliwa  kushika nafasi hiyo,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.