Meli ya Kampuni ya Azam Marine ikiwakatika bandari ya Forodhani ikipakia abiria kwa ajili ya safari zake za kawaida kati ya Unguja na Pemba hadi Dar, meli hii imepunguza tatizo lausafiri katika kisiwa cha Pemba kwa kutowa huduma hiyo kwa wananchi wa kisiwani huko.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment