Meli ya Kampuni ya Azam Marine ikiwakatika bandari ya Forodhani ikipakia abiria kwa ajili ya safari zake za kawaida kati ya Unguja na Pemba hadi Dar, meli hii imepunguza tatizo lausafiri katika kisiwa cha Pemba kwa kutowa huduma hiyo kwa wananchi wa kisiwani huko.
uzinduzi wa Ushirika Online TV katika hafla ya kilele cha maadhimisho ya
siku ya Ushirika duniani
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akibonyeza
kitufe kuashiria uzinduzi wa Ushirika Online TV katika hafla ya kilele cha
maad...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment