Meli ya Kampuni ya Azam Marine ikiwakatika bandari ya Forodhani ikipakia abiria kwa ajili ya safari zake za kawaida kati ya Unguja na Pemba hadi Dar, meli hii imepunguza tatizo lausafiri katika kisiwa cha Pemba kwa kutowa huduma hiyo kwa wananchi wa kisiwani huko.
MAONESHO YA MIFUGO YA KIMATAIFA MBOGO 2025 KUANZA JUNI 14 CHALINZE
-
Na Mwandishi Wetu
MAONESHO ya Mifugo ya Kimataifa ya Mbogo 2025- ambayo yanakwenda kuandika
alama mpya sio tu kwa tasnia ya mifugo ya Tanzania, bali pia...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment