Eneo la Mandhari ya Amani Nyerere ambalo sehemu hii ya mbele ambayoilikuwa katika hari ya mashimo baada ya baadhi ya wananchi kuchimba mchanga na kuwa sehemu ya mporomoko wa ardhi, sasa kama linavyoonekana baada ya taasisi husika kuijaza sehemu hiyi na kupata muinuko na kuondoa ile hali ya uharibipu wa mazingira katika eneo hilo lilokuwa likiongoza kwa uchimbaji wa mchanga kwa magari ya ngombe.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment