Vijana wa Chipukizi wakiwa katika mazoezi ya mwisho ya Maandalizi ya bwaride la Vijana wa Chipukizi kuyapokea Matembezi ya kuamishisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayotarajiwa kufanyika kesho wakati wa kumalizia matembezi hayo na kupokelewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
MERIDIANBET MZIGO WA KUTOSHA JUMAMOSI HII
-
SEHEMU pekee ambapo kutakua na mkwanja wa kutosha Jumamosi hii ni pale
Meridianbet mabingwa wa michezo ya kubashiri, Kwani kupitia michezo
itakayopigwa l...
19 hours ago
No comments:
Post a Comment