Vijana wa Chipukizi wakiwa katika mazoezi ya mwisho ya Maandalizi ya bwaride la Vijana wa Chipukizi kuyapokea Matembezi ya kuamishisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayotarajiwa kufanyika kesho wakati wa kumalizia matembezi hayo na kupokelewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment