Vijana wa Chipukizi wakiwa katika mazoezi ya mwisho ya Maandalizi ya bwaride la Vijana wa Chipukizi kuyapokea Matembezi ya kuamishisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayotarajiwa kufanyika kesho wakati wa kumalizia matembezi hayo na kupokelewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
GEL yawataka wanaokwenda kusoma nje ya nchi kuzingatia masomo
-
Na Joseph Mwendapole
WAKALA wa Elimu ya Vyuo Vikuu Nje ya Nchi, Global Education Link (GEL),
imewataka wazazi ambao watoto wao wamekosa nafasi za kusoma vy...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment