Vijana wa Chipukizi wakiwa katika mazoezi ya mwisho ya Maandalizi ya bwaride la Vijana wa Chipukizi kuyapokea Matembezi ya kuamishisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayotarajiwa kufanyika kesho wakati wa kumalizia matembezi hayo na kupokelewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment