Msongomano wa Wananchi na wafanyabiashara ya bidhaa za Tende na haluwa katika eneo hilo imekuwa kero kwa wafanyabiashara hawa kuweka mikokoteni yao ya bidhaa hizo njiani na kuwa kero kwa watumiaji wa njia hiyo kuelekea kiponda na forodhani wakati wa mchana. 
BANK OF AFRICA TANZANIA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA MFALME WA MOROCCO
-
BANK of Africa Tanzania yashiriki katika maadhimisho ya miaka 26 ya Mfalme
Mohammed VI wa Ufalme wa Morocco. Tukio hilo la lilifanyika jijini Dar es
Salaam...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment