WANAJUMUIA ya ‘Tumaini Jipya’ TUJIPE, ilioko
kisiwani Pemba, wakiwa katika kazi za vikundi, kwenye mafunzo ya siku tano ya
kuandaa mpango mkakati, yaliofadhiliwa na ‘the foundations for civil society’
yaliofanyika uwanja wa Gombani Chakechake Pemba (picha na Haji Nassor, Pemba)
NANDI KUUNGA MKONO NEMBO YA MADE IN TANZANIA AHAIDI KUITUMIA KWENYE BIDHAA
NA MZIKI WAKE
-
Msanii wa muziki wa kizazi Kipya, Faustina Charles Mfinanga, maarufu kwa
jina la Nandy, ameonyesha dhamira ya dhati ya kuiunga mkono nembo ya 'Made
in Tanz...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment