Habari za Punde

Bodi ya Madawa na Vipodozi Zanzibar, Yakubaliana na MfanyabiasharaAliyeingiza Mchele Mbovun kutoka Pakistani Aurejeshe Ulikotoka.

Mfanyabiasha aliyeingiza mchele kutoka Pakistan, ambao umegundulikana kuwa ni Mbovu na haufai kwa matumizi ya kula kwa Binaadamu, umeamuliwa na Bodi ya Madawa na Vipodozi kurejesha kwao Ndg. Mohammed Mauly, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa zoezi hilo la kuaza kwa kuutayarisha kwa kuurudisha Paskistan.
Mchele mbovu uliodhibitishwa na Bodi ya vyakula, dawa na vipodozi Zanzibar ukiwa kweye Godauni Mwanakwerekwe ukisubiri kurejeshwa Pakistan ulipo nunuliwa.
 Wachuku wakipakia Mchele kwenye gari kwaajili ya kusafirishwa kurejeshwa ulipotoka.
 
Mfanyabiashara aliyeingiza Mchele kutoka Pakistan Bwa. Mohamed Mauly akionyesha Mchele mbovu ulithibitishwa na Bodi ya vyakula Dawa na Vipodozi Zanzibar na mwenyewe kuridhika na majibu hayo, nakusema sio aliouagizia hivyo ameshapeleka madai na kutakiwa aurudishe ili kupewa haki zake na Kampuni ya Bilal Rice Mills ya Pakistan. Picha na Makame Mshenga wa Maelezo-Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.