Habari za Punde

Makamu wa Rais Dkt. Bilal Afungua Msikiti wa Kiboje Zanzibar Wilaya ya Kati Unguja.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Alhajj Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kufungua rasmi msikiti wa Masjid Fatima Binti Rasuuli leo, katika kijiji cha kiboje uwandani Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Alhajj Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi wakiondosha kitambaa kuzindua rasmi msikiti wa Masjid Fatima Binti Rasuuli leo, uliojengwa katika kijiji cha kiboje uwandani Zanzibar.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Alhajj Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi wakiondosha kitambaa kuzindua rasmi msikiti wa Masjid Fatima Binti Rasuuli,uliojengwa katika kijiji cha kiboje uwandani Zanzibar. 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Alhajj Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wananchi wa kijiji cha kiboje uwandani baada ya kufungua rasmi msikiti wa Masjid Fatima Binti Rasuuli uliopo katika kijiji cha kiboje uwandani Zanzibar
Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Omar Kabi akiongoza Dua ya pamoja baada ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Alhajj Dkt. Mohammed Gharib Bilal kufungua msikiti wa Masjid Fatima Binti Rasuuli uliopo katika kijiji cha kiboje uwandani Zanzibar.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Alhajj Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na wananchi wa kijiji cha kiboje uwandani alipowasili katika kijiji hicho leo,kwa ajili ya kufungua msikiti wa Masjid Fatima Binti Rasuuli uliojengwa na baadhi ya wafadhili kwa kushirikiana na Muwakilishi wa Jimbo la Uzini Mhe. Mohammed Raza.(Picha na Amour Nassor OMR) 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.