Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada awasili nchini kwa ziara ya
Kikazi
-
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada Mhe. Randeep Sarai amewasili
nchini kwa ziara ya kikazi ya siku Tatu.
Mhe. Sarai anatarajiwa kutembelea miradi m...
8 hours ago
Vipi hapo Lipumba anataka kumrudi mzee Kificho?
ReplyDeletehuyu shivji tangu zamani mimi nilikuwa namshuku kuwa ni mnafiki lakini nilikuwa sina ushahidi , lakini nashukuru kuwa amejitambulisha mwenyewe kabla ya kuingia kaburini , tumwepuke mtu kama huyu mwenye kujali maslahi yake binafsi huku anajidai mwenye kusimamia haki. Hii kusema muungano ndio umetufikisha hapa , kwani tumefika wapi ktk miaka 50? hali za wananchi duni , elimu mbovu ( waliosoma ukoloni wanajua tofauti ya elimu waliopata wao na ya sasa ) , hospitali duni ( waulize waliokuwepo wakati wa mwingereza hospitali ya mnazi mmoja ilikuwa vipi wakati ule) , maji mpaka sasa tunatembea na madumu , umeme wa kuazima kidatu siku wakifunga hamna kitu , kipi cha kujivunia? huduma zote muhimu za kijamii zilikuwa bora wakati tupo chini ya mwingereza kuliko sasa , labda mtasema wakati ule tulikuwa idadi yetu kidogo , sasa kwani serikali haingalii mipango yake kutokana na idadi ya watu? inakuwa imelala usingizi wakati watu wanazaliwa na wengine kufa ?
ReplyDeleteSeif sharif amesomeshwa na pesa za muungano pale chuo kikuu cha dar .Jee umepaona hapo ulipotufikisha. Sio yeye tuu na sie wengi wengineo tumeona ndani chini ya kivuli hicho.Chini ya muungano wapemba wanamiliki ardhi kubwa Bara na miji mali isiyohamishika.
ReplyDelete