Habari za Punde

Rais wa Zanzibar Dkt Shein Azungumza na Watendaji wa Wizara ya Habari Utamatuni Utalii na Michezo Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,utalii,Utamaduni na Michezo, katika kikao cha utekelezaji Mpango kazi kwa kipindi cha Julai hadi Machi 2013/2014,katika ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini  Zanzibar jioni jana,
Katibu Mkuu Wizara ya  Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo, Dkt.Ali Mwinyikai,akiwasilisha mpango wa utekelezaji wa mpamgo wa kazi  wa Wizara hiyo katika kipindi cha robo mwaka kutoka Julai -Machi 2013/2014,katika kikao kilichofanyika jana jioni ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar, chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi (kushoto).[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.