Wananchi wakifuatilia mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba Tanzania kupitia Kituo cha Television ya Taifa TBC, kikiripoti moja kwa moja kutoka Dodoma. Wakiwa katika moja ya mskani ya kikwajuni weles. Wakati Mhe Tundu Lisu akitowa mawazo ya Wajumbe Wachache.
THBUB KUSHIRIKIANA NA MNCC YA MALAWI KULINDA HAKI ZA WATOTO
-
Kamishna wa THBUB, Mhe. Nyanda Shuli akizungumza na ugeni kutoka MNCC ulioongozwa
na Kamishna Lyka Mtambo Milanzi wa MNCC (waliokaa) wakiwa katika picha y...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment