Habari za Punde

Makamu wa Rais wa China Awasili Dar na Kupokelewa na Makamu wa Rais Dkt Bilal.


Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimlaki Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Dar es Salaam kwa ajli ya ziara ya siku sita nchini.Yuanchao amewasili jioni hii kwa ndege ndogo ya kukodi  akitokea Arusha ambako jana alitua Uwanja wa Ndege 

Makamu wa Rais wa China akisalimiana na Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama waliofika kumlaki wakati alipowasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa JKR Dar.
Makamu wa Rais wa China Bwa. Yuanchao akisalimiana na baadhi ya viongozi waliofika kumlaki uwanja wa ndege wa JKR. Dar.

                            Makamu wa Rais wa China Bwa. Yuanchao akiwapungia mkono wasanii waliofika                               uwanja wa ndege wa JKR, kumpokea wakati alipowasili Tanzania kwa ziara ya kiserekali.

1 comment:

  1. jamaa huyu mh Bilali ndo kawa wa bara tu hahusiki na Zanzibar? sijawahi kuona hata siku moja kufanya kitu kwa Zanzibar

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.