Watoto wenye Ulemavu wa Akili wakiw katika Ukumbi wa Mkutano wa Baraza la Wawakilishi kutambulishwa kwa Ushindi wao wa Jumla katika Michuano ya Watu Wenye Ulemavu yaliofanyika katika Viwanja vya Kibaha Nje ya Mji wa Dar-es-Salaam Wiki iliopita na kuibuka na Ushindi wa Jumla katika michuano hiyo.
Watia Nia Nafasi za Ubunge na Uwakilishi Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Wachukua Fomu za Kugombea Nafasi Hizo
-
KATIBU wa CCM Wilaya ya Mfenesini, Veronica Ndaro, akimkabidhi Mihayo Juma
Nhunga, fomu ya kuwania uwakilishi wa jimbo la Mwera.
KATIBU wa CCM Wilaya ya M...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment