Watoto wenye Ulemavu wa Akili wakiw katika Ukumbi wa Mkutano wa Baraza la Wawakilishi kutambulishwa kwa Ushindi wao wa Jumla katika Michuano ya Watu Wenye Ulemavu yaliofanyika katika Viwanja vya Kibaha Nje ya Mji wa Dar-es-Salaam Wiki iliopita na kuibuka na Ushindi wa Jumla katika michuano hiyo.
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment