Habari za Punde

Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Mashujaa Dar

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea salama  ya Heshma mara baada ya kuwasili katika viwanja vya  Mnazi Mmoja Jijini dar es Salaam jana katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa ,[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
  Kikosi cha Bebdera cha jeshi la wananchi JWTZ wakitoa salamu ya hesha wakati wimbo wa Taifa ukipigwa katika Maadhimisho ya Siku ya mashujaa yaliyofanyika katika Mnara wa kumbukumbu  Mnazi Mmoja Jijini Dae es Salaam jana.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu,]
 Makamo wa Rais wa Muungano Dk.Mohamed Gharib Bilali (kutoka kulia) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Mizengo Pinda, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakiwa kilele  cha  Maadhimisho ya Siku ya mashujaa yaliyofanyika katika Mnara wa kumbukumbu  Mnazi Mmoja Jijini Dae es Salaam jana.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu,]
 Mkuu wa Mabalozi Juma Alfani Mpango akiweka shada la Mauwa wakati wa Maadhimisho ya Siku ya mashujaa yaliyofanyika katika Mnara wa kumbukumbu  Mnazi Mmoja Jijini Dae es Salaam jana.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu,]
 Dk.Stephen  Mang'ana kutoka Baraza la Kikristo Tanzania akiomba dua wakati wa Maadhimishio ya Siku ya mashujaa  yaliyofanyika katika Mnara wa kumbukumbu  Mnazi Mmoja Jijini Dae es Salaam jana,mgeni rasmi akiwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu,]
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein baada ya hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika jana katika viwanja vya  kumbu kumbu Mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam.[Picha na Ramadhan Othman Ikulku.]
 Makamo wa Rais wa Muungano Dk.Mohamed Gharib Bilali na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(kushoto) wakiwasalimia Wazee wa Jeshi la Ukombozi waaliopigana vita mbali mbali kukomboa nchi hii wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika jana katika viwanja vya  kumbu kumbu Mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam.[Picha na Ramadhan Othman Ikulku.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiaagana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es SalaamSaid Meck Sadiki baada ya kumalizika kwa hafla  ya Maadhimisho ya Siku ya mashujaa yaliyofanyika katika Mnara wa kumbukumbu  Mnazi Mmoja Jijini Dae es Salaam jana.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu,]
Sheikh Ali  Muhidin  Mkoyagore kwa Upande wa Dini ya kiislamu akiomba dua wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya mashujaa yaliyofanyika katika Mnara wa kumbukumbu  Mnazi Mmoja Jijini Dae es Salaam jana.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu,]


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.