MKURUGENZI mtendaji wa asasi za
kiraia mkoa wa kusini Pemba Mussa Kombo Mussa akiwasilisha mada juu utunzaji wa
mazingira ya bahari, kwa wanajumuia ya uvuvi w akina kirefu cha maji Wingwi,
mafunzo yaliofanyika skuli ya Mtemani msingi mkoa wa kaskazini Pemba (picha na Shemsia Khamis, Pemba)
WANAJUMUIYA ya wavuvi kina kirefu cha
maji na uhifadhi wa mazingira ya bahari Pemba, wakiwa pamoja na mkurugenzi
mtendaji wa asasi za kiraia Pemba Mussa Kombo Mussa, wakiangalia eneo la fukwe
wa bahari kijiji cha Wingwi, jinsi fulwe hiyo inavyoliwa na maji ya bahari (picha na Shemsia Khamis, Pemba)
No comments:
Post a Comment