Mkuu wa Mkoa wa
Kusini Pemba Mhe :Mwanajuma Majid Abdalla kushoto akioangalia moja ya biadhaa
zinazozalishwa na wajasiriami wa Chake Chake
Maafisa wadhamini kutoka Wizara mbali mbali za Serikali kisiwani
Pemba, wakiangalia moja ya bidhaa zinazotengenezwa na wajasiria mali wa kisiwa
Cha Pemba, huko katika soko la Jumapili katikati mwenye miwani ni Mkuu wa
Wilaya ya Chake Chake Hanuna Ibrahim Massoud.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment