Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya
Habari Maelezo Tanzania Bw. Assah Mwambene akiongea
na Balozi wa Cuba nchini Tanzania. Mh. Jorge Lopez Tormo kuhusiana na mambo mbalimbali yanayohusiana na tasnia ya
Habari baina ya Tanzania na Cuba.
Balozi wa Cuba nchini Mh.
Lopez Toronto akiongea na Mkurugenzi wa
Idara ya Habari Bw. Assah Mwambene
wakati Balozi huyo alipomtembelea Bw. Mwambene
Ofisini kwake leo (jana), katika mazungumzo yao
walijadiliana kuhusu maendeleo ya Tasnia ya
Habari baina ya nchi hizo mbili.
Picha
na Benjamin Sawe. Maelezo Dar.
No comments:
Post a Comment