Introducing Under-30 Youth Awards and Call For Nominations
Youth For Africa (YOA), a National Youth
led Organization based in Dar es Salaam wishes to inform the esteemed media and
General Public about the Under-30 Youth Awards 2014, Tanzania’s First and
Largest Youth Awards. Under the Theme “Beyond
Norms” Under-30 Youth Awards 2014
seeks to recognize Outstanding Under-30 Tanzanian Individuals and/or Groups so that they get
motivated to dream more, learn more and do more.
Youth For Africa (YOA) also wishes to inform the esteemed media and
public that the Nominations for Young Generation
between the ages of 18 to 30 years are now open to 15 Categories of the
Under-30 Youth Awards 2014
Under 30 Youth Awards 2014
categories include agriculture, innovation,
social impact, fashion designing, fashion modeling, music, film/drama,
entrepreneurship, most appealing business idea, sports, broadcasting media,
blogging, print media, fine art and academician.
We also wish to acknowledge our proud sponsors namely Tanzania Communications Regulatory
Authority (TCRA), Uongozi Institute, Push mobile, Africa Media Group Ltd
[channel10 & magic fm], FastJet , Onspot Magazine, Smartcodes ,Kalax
Promotions and Adam Digicom . We call upon other stronger Partnerships and
collaborations from Institutions, Government, Civil Society, Private Sector,
Diplomatic Missions, Financial Institutions and the Public at large to achieve
our Esteemed Goal.
The
nomination period runs until 10 November 2014. Nomination can done via our SMS
platform and Under 30 Youth Awards official website www.youthawards.or.tz
The SMS nomination (procedures)
Send
the word (with no quotation) “ Under30 “ to 15678 and you will receive a
message which shows all the categories and their corresponding codes. To
complete nomination send the code name then put space/tab/enter and write the
nominee name followed by the nominee contacts (phone no or email)
TAARIFA KWA UMMA
Kutambulisha Tuzo za Vijana chini ya Miaka 30 na kuanza upendekezaji
majina ya vijana hao
Youth For Africa (YOA), Shirika la kitaifa linaloongozwa na vijana ambalo makao yake yapo Dar es Salaam linapenda kuwataarifu
wanahabari na umma kuhusu
tuzo za vijana chini ya miaka 30 kwa mwaka 2014 ( Under-30 youth Awards
2014). Tuzo hizi ni kubwa na za kwanza za aina yake zinazowalenga vijana moja
kwa moja. Tuzo za mwaka huu zinakuja na ujumbe
‘Zaidi ya Kawaida’ ikiwa ni
katika kuwapa moyo na kuwahamasisha vijana kufanya vitu vizuri zaidi katika
maendeleo yao binafsi, jamii na nchi kwa ujumla. Tuzo hizi za vijana wenye umri
chini ya miaka 30 zinalenga kutambua vijana
wa kitanzania walio chini ya miaka 30
ambao wamefanya vizuri katika nyanja mbalimbali na kuwatia hamasa wao na vijana
wote wazidi kuwa na ndoto, wazidi kujifunza na wazidi kufanya vitu vizuri zaidi
katika nchi.
Youth For Africa (YOA) pia inapenda kuwataarifu wanahabari na umma kwa ujumla kuwa upendekezaji wa majina ya vijana
wanaostahili hizi tuzo (kuanzia miaka 18 hadi 29) ushafunguliwa na unazingatia vipengele 15 vilivyopo tuzo
hizi.
Vipengele hivyo ni pamoja na Kilimo, Uvumbuzi, Mchango kwa Jamii,
Ubunifu Mitindo, Uanamitindo, Muziki, Uigizaji, Ujasiriamali, Wazo zuri la
Biashara, Michezo, Utangazaji, Tovuti bora, Uchapishaji, Sanaa, Uanataaluma..
Tunapenda kuwatambua na
kuwashukuru wadhamini wetu waliojitokeza mpaka sasa ambao ni pamoja na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Uongozi
Institute, Push mobile, Africa Media Group Ltd [Channel 10 & Magic fm],
FastJet , Onspot Magazine, Smartcodes ,Kalax Promotions and Adam Digicom. Tunapenda kuchukua nafasi hii pia
kuwakaribisha wadau mbalimbali waweze kudhamini tuzo hizi ili kuweza kutimiza
malengo ya tuzo hizi.
Upendekezaji wa majina utaendelea mpaka tarehe 10 Novemba 2014. Mapendekezo
yanatumwa kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu au kupitia tovuti yetu. www.youthawards.com.
Kupitia ujumbe wa simu
(maelezo jinsi ya kushiriki):
Tuma neno “ Under30 “ kwenda
15678 upate kujua vipengele vyote na code zake. Ukishakujua kodi za kila
kipengele andika ujumbe mfupi wenye kodi ya kipengele unachotaka kupendekeza
mtu ikifuatiwa na jina la mtu unayempendekeza na namba yake ya simu au barua
pepe kasha utume kwenda 15678.
Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Youth For Africa
(YOA) Harisson Anthony Mbugi akihojiwa na mwandishi wa habari mudamfupi
baada ya kutambulisha rasmi tuzo za
vijana chini ya miaka 30 na upendekezaji wa vijana hao, iliyofanyika Idara
Maelezo jijini Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment