Mfanyabiashara ya Saruji katika maduka ya Mlandege akizungumzia kwa kupanda kwa saruji kufukia shilingi 18, 000/= kwa mfuko mmoja imebidi kuuza bei hiyo kutokana na kuipa saruji hiyo kwa bei ya jumla kwa shs 15,000/= Saruji Zanzibar imekuwa adimi sasa karibu miezi mitatu sasa bidhaa hiyo imekuwa adimu
RAIS WA ZANZIBAR DK HUSSEIN ALI MWINYI AZINDUA SERA YA NISHATI YA ZANZIBAR
GOLDEN TULIP MJINI UNGUJA.
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali
Mwinyi akipokea Vitabu vya Sera ya Nishati ya Zanzibar kutoka kwa Waziri
wa Maji N...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment